REG: 129896,
MOB:+255717655665,+255752156950,+255768993787
Dar es salaam-Tanzania
Friday, 24 August 2018
@alzam
hawa ni miongon mwa wanafunz wa chuo kikuu cha uhasibu (TIA) kilichopo uhasibu walikuja kujumuika na watoto tuna washukuru kwa kujitolea muda wenu na kuja jumuika na watoto hawa mungu atawalipa
Location: Dar es salaam Tanzania, Mbagala Kichemchem, Tanzania
kituo hiki kilianzishwa mnamo mwaka 2009 kikiwa na watoto wapatao 5 na mpaka ifikiapo mnamo mwa 2012 kituo kili weza kua na idadi ya watoto 10 ilipo fika mwaka 2017/2018 kitu kili weza kufikisha watoto 45 hivyo ni miongoni mwa hatua tunazo zipiga na kujivunia
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home