REG: 129896,
MOB:+255717655665,+255752156950,+255768993787
Dar es salaam-Tanzania
Monday, 11 September 2017
Hayo matenga muyaonayo hapo ni matenga ya nyanya ila kutokana na ubunifu tulip weza kufanya ili kuhidhi nguo za watoto kuto kuzagaa hivyo basi ime tulazimu kuyafanya makabati kiukweli bado tuna hitaji support zenu ili tuweze kuwalea watoto hawa katika malezi bora kwa jukumu ni letu sote #wanandoto
Location: Dar es salaam Tanzania, Mbagala Kichemchem, Tanzania
kituo hiki kilianzishwa mnamo mwaka 2009 kikiwa na watoto wapatao 5 na mpaka ifikiapo mnamo mwa 2012 kituo kili weza kua na idadi ya watoto 10 ilipo fika mwaka 2017/2018 kitu kili weza kufikisha watoto 45 hivyo ni miongoni mwa hatua tunazo zipiga na kujivunia
0 Comments:
Post a Comment
Subscribe to Post Comments [Atom]
<< Home